-
Kutoka 23:14Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
14 “Unapaswa kunifanyia sherehe mara tatu kwa mwaka.+
-
-
Kutoka 34:23Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
23 “Mara tatu kwa mwaka, wanaume wenu wote wanapaswa kwenda mbele za Bwana wa kweli, Yehova, Mungu wa Israeli.+
-
-
Kumbukumbu la Torati 12:5, 6Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
5 Badala yake, mtafuteni Yehova Mungu wenu mahali popote atakapochagua kuweka jina lake na mahali atakapokaa miongoni mwa makabila yote, mwende mahali hapo.+ 6 Hapo ndipo mnapopaswa kupeleka dhabihu zenu za kuteketezwa,+ matoleo yenu, sehemu zenu za kumi,+ mchango kutoka mkononi mwenu,+ dhabihu zenu za nadhiri, matoleo yenu ya hiari,+ na wazaliwa wa kwanza wa ng’ombe na kondoo wenu.+
-
-
Waamuzi 21:19Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
19 Ndipo wakasema, “Jamani! Kuna sherehe ya Yehova inayofanywa kila mwaka kule Shilo,+ jiji lililo upande wa kaskazini wa Betheli na upande wa mashariki wa barabara kuu inayopanda kutoka Betheli kwenda Shekemu na upande wa kusini wa Lebona.”
-