1 Samweli 7:10 Tafsiri ya Ulimwegu Mpya 10 Samweli alipokuwa akitoa dhabihu hiyo ya kuteketezwa, Wafilisti wakakaribia ili kupigana na Waisraeli. Basi siku hiyo Yehova akawaletea Wafilisti mngurumo mkubwa sana,+ Naye akawavuruga,+ wakashindwa mbele ya Waisraeli.+ 2 Samweli 22:14 Tafsiri ya Ulimwegu Mpya 14 Kisha Yehova akaanza kunguruma kutoka mbinguni;+Aliye Juu Zaidi aliifanya sauti yake isikike.+ Zaburi 18:13 Tafsiri ya Ulimwegu Mpya 13 Kisha Yehova akaanza kunguruma mbinguni;+Aliye Juu Zaidi aliifanya sauti yake isikike+Kwa mvua ya mawe na makaa ya mawe yanayowaka moto.
10 Samweli alipokuwa akitoa dhabihu hiyo ya kuteketezwa, Wafilisti wakakaribia ili kupigana na Waisraeli. Basi siku hiyo Yehova akawaletea Wafilisti mngurumo mkubwa sana,+ Naye akawavuruga,+ wakashindwa mbele ya Waisraeli.+
13 Kisha Yehova akaanza kunguruma mbinguni;+Aliye Juu Zaidi aliifanya sauti yake isikike+Kwa mvua ya mawe na makaa ya mawe yanayowaka moto.