1 Samweli 17:13 Tafsiri ya Ulimwegu Mpya 13 Wana watatu wakubwa wa Yese walikuwa wameenda na Sauli vitani.+ Majina ya wana hao watatu walioenda vitani ni Eliabu+ mzaliwa wake wa kwanza, Abinadabu+ mwana wake wa pili, na Shamma mwana wake wa tatu.+ 1 Mambo ya Nyakati 2:13 Tafsiri ya Ulimwegu Mpya 13 Yese akamzaa mzaliwa wake wa kwanza Eliabu, wa pili Abinadabu,+ wa tatu Shimea,+
13 Wana watatu wakubwa wa Yese walikuwa wameenda na Sauli vitani.+ Majina ya wana hao watatu walioenda vitani ni Eliabu+ mzaliwa wake wa kwanza, Abinadabu+ mwana wake wa pili, na Shamma mwana wake wa tatu.+