Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Lugha ya Alama ya Tanzania
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Samweli 1:11
    Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
    • 11 Naye akaweka nadhiri hii: “Ee Yehova wa majeshi, ikiwa utayaona mateso yangu mimi mtumishi wako na kunikumbuka na usiponisahau mimi mtumishi wako, nawe unipe mtoto wa kiume,+ nitamtoa awe wa Yehova sikuzote za maisha yake, na hakuna wembe utakaogusa kichwa chake.”+

  • 1 Samweli 3:1
    Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
    • 3 Wakati huo, mvulana Samweli alikuwa akimhudumia+ Yehova chini ya uangalizi wa Eli, lakini neno la Yehova lilikuwa haba siku hizo; maono+ hayakuwa mengi.

  • 1 Samweli 3:15
    Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
    • 15 Samweli akaendelea kulala mpaka asubuhi; kisha akafungua milango ya nyumba ya Yehova. Samweli akaogopa kumwambia Eli maono hayo.

Tanzanian sign language publications(2020-2025)
Toka
Ingia
  • Lugha ya Alama ya Tanzania
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki