1Sasa kulikuwa na mwanamume fulani kutoka Ramathaim-sofimu*+ katika eneo lenye milima la Efraimu+ aliyeitwa Elkana,+ mwana wa Yerohamu, mwana wa Elihu, mwana wa Tohu, mwana wa Sufu, Mwefraimu.
19 Wakaamka asubuhi na mapema na kuinama mbele za Yehova, kisha wakarudi nyumbani kwao kule Rama.+ Elkana akafanya ngono na Hana mke wake, na Yehova akamkumbuka.*+