8 Kisha akatengeneza beseni la shaba+ na kinara chake cha shaba; alitumia vioo* vya wanawake waliotumikia kwenye mlango wa hema la mkutano kulingana na mpangilio uliowekwa.
6 Wanapaswa kuwa watakatifu mbele za Mungu wao,+ nao hawapaswi kulichafua jina la Mungu wao,+ kwa sababu wanatoa dhabihu za Yehova zinazochomwa kwa moto, mkate wa* Mungu wao, lazima wawe watakatifu.+