-
1 Samweli 20:28, 29Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
28 Yonathani akamjibu Sauli: “Daudi alinisihi nimruhusu aende Bethlehemu.+ 29 Aliniambia, ‘Tafadhali niruhusu niende, kwa sababu tuna dhabihu ya familia jijini, na ndugu yangu mwenyewe aliniita. Basi ikiwa nimepata kibali machoni pako, tafadhali acha niende kisiri nikawaone ndugu zangu.’ Ndiyo sababu hajaja kwenye meza ya mfalme.”
-