2 Samweli 21:7 Tafsiri ya Ulimwegu Mpya 7 Hata hivyo, mfalme akamhurumia Mefiboshethi,+ mwana wa Yonathani mwana wa Sauli, kwa sababu ya kiapo ambacho Daudi na Yonathani mwana wa Sauli walikuwa wameapiana mbele za Yehova.+
7 Hata hivyo, mfalme akamhurumia Mefiboshethi,+ mwana wa Yonathani mwana wa Sauli, kwa sababu ya kiapo ambacho Daudi na Yonathani mwana wa Sauli walikuwa wameapiana mbele za Yehova.+