Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Lugha ya Alama ya Tanzania
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mambo ya Walawi 11:23, 24
    Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
    • 23 Wadudu wengine wote wenye mabawa wanaoishi katika makundi makubwa wenye miguu minne ni chukizo kwenu. 24 Wadudu hao watawafanya msiwe safi. Kila mtu anayegusa mizoga yao hatakuwa safi mpaka jioni.+

  • Mambo ya Walawi 15:4, 5
    Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
    • 4 “‘Kitanda chochote anacholalia mtu anayetokwa na umajimaji hakitakuwa safi, na kitu chochote anachokalia hakitakuwa safi. 5 Mtu anayegusa kitanda cha mtu huyo ni lazima afue mavazi yake na kuoga kwenye maji, naye hatakuwa safi mpaka jioni.+

  • Mambo ya Walawi 15:16
    Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
    • 16 “‘Mwanamume akitokwa na shahawa, anapaswa kuoga mwili mzima kwenye maji naye hatakuwa safi mpaka jioni.+

  • Mambo ya Walawi 15:18
    Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
    • 18 “‘Mwanamume akilala na mwanamke kisha atokwe na shahawa, wote wawili wanapaswa kuoga kwenye maji na hawatakuwa safi mpaka jioni.+

  • Hesabu 19:16
    Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
    • 16 Kila mtu aliye uwanjani anayemgusa mtu aliyeuawa kwa upanga au maiti au mfupa wa mtu au kaburi hatakuwa safi kwa siku saba.+

Tanzanian sign language publications(2020-2025)
Toka
Ingia
  • Lugha ya Alama ya Tanzania
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki