1 Samweli 18:13 Tafsiri ya Ulimwegu Mpya 13 Kwa hiyo Sauli akamwondoa nyumbani mwake na kumweka kuwa mkuu wa elfu, basi Daudi alikuwa akiliongoza jeshi vitani.*+ 1 Samweli 25:28 Tafsiri ya Ulimwegu Mpya 28 Tafadhali, nisamehe kosa langu mimi kijakazi wako, kwa maana hakika Yehova atakujengea wewe bwana wangu nyumba inayodumu,+ kwa sababu wewe bwana wangu unapigana vita vya Yehova,+ na uovu haujaonekana ndani yako siku zako zote.+
13 Kwa hiyo Sauli akamwondoa nyumbani mwake na kumweka kuwa mkuu wa elfu, basi Daudi alikuwa akiliongoza jeshi vitani.*+
28 Tafadhali, nisamehe kosa langu mimi kijakazi wako, kwa maana hakika Yehova atakujengea wewe bwana wangu nyumba inayodumu,+ kwa sababu wewe bwana wangu unapigana vita vya Yehova,+ na uovu haujaonekana ndani yako siku zako zote.+