15 Habari ifuatayo inawahusu watu ambao Mfalme Sulemani aliwaandikisha kufanya kazi ya kulazimishwa+ ili wajenge nyumba ya Yehova,+ nyumba yake mwenyewe,* Kilima,*+ ukuta wa Yerusalemu, Hasori,+ Megido,+ na Gezeri.+
24 Lakini binti ya Farao+ akatoka katika Jiji la Daudi+ akaenda kuishi katika nyumba yake ambayo Sulemani alimjengea; kisha Sulemani akajenga Kilima.*+
5 Zaidi ya hayo, akiwa ameazimia, alijenga upya ukuta wote uliobomolewa, akajenga minara juu yake, na kujenga ukuta mwingine upande wa nje. Alirekebisha pia Kilima*+ cha Jiji la Daudi na kutengeneza silaha nyingi na ngao.