-
1 Wafalme 10:9Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
9 Na asifiwe Yehova Mungu wako,+ ambaye amependezwa nawe, akakuweka kwenye kiti cha ufalme cha Israeli. Kwa sababu ya upendo wa milele wa Yehova kwa Waisraeli, alikuweka rasmi kuwa mfalme ili utekeleze haki na uadilifu.”
-
-
2 Mambo ya Nyakati 2:11Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
11 Ndipo Hiramu mfalme wa Tiro akatuma barua hii kwa Sulemani: “Kwa sababu Yehova anawapenda watu wake, amekuweka kuwa mfalme wao.”
-