Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Lugha ya Alama ya Tanzania
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 29:24, 25
    Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
    • 24 wao pamoja na mataifa yote watauliza, ‘Kwa nini Yehova aliitendea hivi nchi hii?+ Ni nini kilichomfanya awake hasira kali hivi?’ 25 Kisha watasema, ‘Ni kwa sababu waliliacha agano la Yehova,+ Mungu wa mababu zao, ambalo alifanya pamoja nao alipowatoa nchini Misri.+

  • Waamuzi 2:20
    Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
    • 20 Mwishowe hasira ya Yehova ikawaka dhidi ya Waisraeli,+ akasema, “Kwa sababu taifa hili limevunja agano langu+ nililofanya na mababu zao, na halijanitii,+

  • 1 Wafalme 8:9
    Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
    • 9 Hakukuwa na kitu kingine ndani ya Sanduku hilo isipokuwa yale mabamba mawili ya mawe+ ambayo Musa aliyaweka humo+ kule Horebu, Yehova alipofanya agano+ na Waisraeli walipokuwa wakitoka nchini Misri.+

  • 2 Wafalme 17:15
    Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
    • 15 Waliendelea kukataa masharti yake na agano lake+ alilofanya na mababu zao na vikumbusho vyake alivyowapa ili kuwaonya,+ nao wakaendelea kufuata sanamu za ubatili,+ na wao wenyewe wakawa ubatili,+ wakiiga mataifa yaliyowazunguka pande zote ambayo Yehova alikuwa amewaamuru wasiyaige.+

Tanzanian sign language publications(2020-2025)
Toka
Ingia
  • Lugha ya Alama ya Tanzania
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki