Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Lugha ya Alama ya Tanzania
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Wafalme 8:12
    Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
    • 12 Hazaeli akamuuliza: “Bwana wangu, kwa nini unalia?” Akamjibu: “Kwa sababu ninajua madhara utakayowatendea Waisraeli.+ Utateketeza ngome zao, utawaua kwa upanga wanaume wao mashujaa, utawapondaponda watoto wao, na kuwapasua tumbo wanawake wao wenye mimba.”+

  • 2 Wafalme 10:32
    Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
    • 32 Siku hizo Yehova alianza kupunguza* eneo la Israeli, eneo moja baada ya lingine. Hazaeli akaendelea kuwashambulia kotekote katika eneo la Israeli,+

  • 2 Wafalme 13:3
    Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
    • 3 Kwa hiyo hasira ya Yehova+ ikawaka dhidi ya Waisraeli,+ akawatia mikononi mwa Mfalme Hazaeli+ wa Siria na mikononi mwa Ben-hadadi+ mwana wa Hazaeli siku zao zote.

Tanzanian sign language publications(2020-2025)
Toka
Ingia
  • Lugha ya Alama ya Tanzania
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki