-
2 Mambo ya Nyakati 21:1Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
21 Kisha Yehoshafati akafa na kuzikwa pamoja na mababu zake katika Jiji la Daudi; na Yehoramu mwanawe akawa mfalme baada yake.+
-
-
2 Mambo ya Nyakati 21:5Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
5 Yehoramu alikuwa na umri wa miaka 32 alipoanza kutawala, naye alitawala huko Yerusalemu kwa miaka minane.+
-