Hesabu 14:19, 20 Tafsiri ya Ulimwegu Mpya 19 Tafadhali, wasamehe watu hawa dhambi zao kulingana na upendo wako mwingi mshikamanifu, kama ambavyo umekuwa ukiwasamehe tangu walipotoka Misri mpaka sasa.”+ 20 Basi Yehova akasema: “Nimewasamehe kama ulivyoomba.+
19 Tafadhali, wasamehe watu hawa dhambi zao kulingana na upendo wako mwingi mshikamanifu, kama ambavyo umekuwa ukiwasamehe tangu walipotoka Misri mpaka sasa.”+ 20 Basi Yehova akasema: “Nimewasamehe kama ulivyoomba.+