-
Kumbukumbu la Torati 23:3Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
3 “Hakuna Mwamoni au Mmoabu anayepaswa kuja katika kutaniko la Yehova.+ Hata kufikia kizazi cha kumi, hakuna mzao wao yeyote anayepaswa kuja katika kutaniko la Yehova,
-
-
Kumbukumbu la Torati 23:6Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
6 Hampaswi kamwe kuhangaikia hali yao wala kuwasaidia kupata ufanisi siku zenu zote.+
-