-
1 Wafalme 3:12, 13Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
12 nitafanya uliloomba.+ Nitakupa moyo wenye hekima na uelewaji,+ hivi kwamba kama vile ambavyo hajawahi kamwe kuwapo mtu mwingine kama wewe kabla yako, hatawahi kamwe kuwapo mtu mwingine kama wewe baada yako.+ 13 Isitoshe, nitakupa vitu ambavyo hukuomba,+ utajiri na utukufu,+ hivi kwamba hatakuwapo mfalme mwingine kama wewe katika maisha yako yote.*+
-
-
2 Mambo ya Nyakati 9:22Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
22 Kwa hiyo Mfalme Sulemani alikuwa na utajiri mwingi zaidi na hekima kuliko wafalme wengine wote duniani.+
-