-
Ayubu 2:9, 10Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
9 Hatimaye mke wake akamwambia: “Je, bado unashika kabisa utimilifu wako? Mtukane Mungu, ufe!” 10 Lakini akamwambia: “Unazungumza kama mmojawapo wa wanawake wapumbavu. Je, tukubali tu mambo mema kutoka kwa Mungu wa kweli, tusikubali pia mambo mabaya?”+ Licha ya hayo yote, Ayubu hakutenda dhambi kwa midomo yake.+
-