12 Na ikiwa mtu huyo ni maskini, hupaswi kulala na kitu alichokupa kuwa dhamana.+ 13 Unapaswa kufanya yote uwezayo kumrudishia kitu alichokupa kuwa dhamana baada tu ya jua kutua, naye atakuwa na vazi lake anapoenda kulala,+ na atakubariki; nawe utakuwa mwadilifu mbele za Yehova Mungu wako.