-
Zaburi 42:8Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
8 Wakati wa mchana Yehova atanipa upendo wake mshikamanifu,
Na usiku wimbo wake utakuwa pamoja nami—sala kwa Mungu wa uhai wangu.+
-
-
Zaburi 149:5Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
5 Washikamanifu na washangilie kwa utukufu;
Na wapaze sauti kwa shangwe vitandani mwao.+
-
-
Matendo 16:25Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
25 Lakini karibu katikati ya usiku, Paulo na Sila walikuwa wakisali na kumsifu Mungu kwa wimbo,+ nao wafungwa walikuwa wakiwasikiliza.
-