Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Lugha ya Alama ya Tanzania
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Wafalme 18:45
    Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
    • 45 Wakati huo, mawingu mazito yakatanda angani, upepo ukavuma, na mvua kubwa sana ikanyesha;+ naye Ahabu akaendesha gari mpaka Yezreeli.+

  • Ayubu 36:29
    Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
    • 29 Kuna yeyote anayeweza kuelewa matabaka ya mawingu,

      Mngurumo unaotoka katika hema lake?*+

  • Ayubu 36:31
    Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
    • 31 Kwa vitu hivyo yeye huwategemeza* watu;

      Huwapa chakula kwa wingi.+

  • Ayubu 38:25-27
    Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
    • 25 Ni nani amechimba mtaro kwa ajili ya mafuriko

      Na kutengeneza kijia kwa ajili ya mawingu ya dhoruba yenye ngurumo,+

      26 Na kuifanya mvua inyeshe mahali ambapo watu hawaishi,

      Nyikani ambako hakuna wanadamu,+

      27 Ili kutosheleza maeneo yaliyoharibiwa yenye ukiwa

      Na kufanya majani yachipuke?+

  • Yakobo 5:17, 18
    Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
    • 17 Eliya alikuwa mtu mwenye hisia kama zetu, na bado aliposali kwa bidii mvua isinyeshe, haikunyesha juu ya nchi kwa miaka mitatu na miezi sita.+ 18 Naye akasali tena, na mbingu ikatoa mvua na nchi ikazaa matunda.+

Tanzanian sign language publications(2020-2025)
Toka
Ingia
  • Lugha ya Alama ya Tanzania
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki