Methali 3:19 Tafsiri ya Ulimwegu Mpya 19 Yehova aliuweka msingi wa dunia kwa hekima.+ Aliziimarisha kabisa mbingu kwa utambuzi.+ Yeremia 31:35 Tafsiri ya Ulimwegu Mpya 35 Yehova,Ambaye hutoa jua ili liangaze wakati wa mchana,Sheria za* mwezi na nyota ili ziangaze usiku,Anayeitibua bahari na kuyavuruga mawimbi yake,Ambaye jina lake ni Yehova wa majeshi, anasema hivi:+ Yeremia 33:25 Tafsiri ya Ulimwegu Mpya 25 “Yehova anasema hivi: ‘Kwa hakika kama nilivyoweka imara agano langu kuhusu mchana na usiku,+ sheria za* mbingu na dunia,+
35 Yehova,Ambaye hutoa jua ili liangaze wakati wa mchana,Sheria za* mwezi na nyota ili ziangaze usiku,Anayeitibua bahari na kuyavuruga mawimbi yake,Ambaye jina lake ni Yehova wa majeshi, anasema hivi:+
25 “Yehova anasema hivi: ‘Kwa hakika kama nilivyoweka imara agano langu kuhusu mchana na usiku,+ sheria za* mbingu na dunia,+