-
Nehemia 9:33Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
33 Umekuwa mwadilifu katika mambo yote yaliyotupata, kwa maana umetenda kwa uaminifu; lakini ni sisi tuliotenda uovu.+
-
-
Zaburi 59:16Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
16 Lakini mimi, nitaimba kuhusu nguvu zako;+
Asubuhi nitatangaza kwa shangwe kuhusu upendo wako mshikamanifu.
-
-
Danieli 9:7Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
7 Ee Yehova, uadilifu ni wako, lakini aibu ni yetu kama ilivyo leo, sisi watu wa Yuda, wakaaji wa Yerusalemu, na Waisraeli wote, wale walio karibu na walio mbali, katika nchi zote ambazo uliwatawanya kwa sababu hawakutenda kwa uaminifu kukuelekea.+
-