-
Zaburi 10:4Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
4 Kwa sababu ya kiburi chake, mwovu hafanyi uchunguzi wowote;
Mawazo yake yote ni: “Hakuna Mungu.”+
-
-
Waroma 1:21Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
21 Kwa maana ingawa walimjua Mungu, hawakumtukuza yeye akiwa Mungu wala hawakumshukuru, bali walikuwa wajinga katika fikira zao na mioyo yao isiyo na ufahamu ikawa na giza.+
-