Zaburi 27:1 Tafsiri ya Ulimwegu Mpya 27 Yehova ni nuru yangu+ na wokovu wangu. Nimwogope nani?+ Yehova ni ngome ya uhai wangu.+ Nimhofu nani? Zaburi 56:10, 11 Tafsiri ya Ulimwegu Mpya 10 Katika Mungu—ninayelisifu neno lake—Katika Yehova—ninayelisifu neno lake—11 Katika Mungu ninaweka tumaini langu; siogopi.+ Mwanadamu ambaye ni duni tu atanifanya nini?+ Waroma 8:31 Tafsiri ya Ulimwegu Mpya Waebrania 13:6 Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
27 Yehova ni nuru yangu+ na wokovu wangu. Nimwogope nani?+ Yehova ni ngome ya uhai wangu.+ Nimhofu nani?
10 Katika Mungu—ninayelisifu neno lake—Katika Yehova—ninayelisifu neno lake—11 Katika Mungu ninaweka tumaini langu; siogopi.+ Mwanadamu ambaye ni duni tu atanifanya nini?+