-
Ayubu 34:11Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
11 Kwa maana atamlipa mwanadamu kulingana na matendo yake+
Na kumletea matokeo ya njia zake.
-
-
Waroma 2:6Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
6 Naye atamlipa kila mmoja kulingana na matendo yake:+
-
-
Wagalatia 6:7Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
7 Msipotoshwe: Mungu si wa kudhihakiwa. Kwa maana lolote analopanda mtu, ndilo atakalovuna pia;+
-
-
Ufunuo 22:12Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
12 “‘Tazama! Ninakuja upesi, nikiwa na thawabu ninayotoa, ili kumlipa kila mmoja kulingana na matendo yake.+
-