Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Lugha ya Alama ya Tanzania
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Ayubu 34:11
    Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
    • 11 Kwa maana atamlipa mwanadamu kulingana na matendo yake+

      Na kumletea matokeo ya njia zake.

  • Methali 24:12
    Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
    • 12 Ukisema: “Lakini hatukujua jambo hili,”

      Je, Yule anayeichunguza mioyo* hatatambua hilo?+

      Naam, Yule anayekutazama atajua

      Naye atamlipa kila mwanadamu kulingana na matendo yake.+

  • Waroma 2:6
    Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
    • 6 Naye atamlipa kila mmoja kulingana na matendo yake:+

  • 2 Wakorintho 5:10
    Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
    • 10 Kwa maana lazima sisi sote tusimame* mbele ya kiti cha hukumu cha Kristo, ili kila mmoja apate malipo kulingana na mambo aliyotenda akiwa katika mwili, yawe mema au mabaya.*+

  • Wagalatia 6:7
    Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
    • 7 Msipotoshwe: Mungu si wa kudhihakiwa. Kwa maana lolote analopanda mtu, ndilo atakalovuna pia;+

  • 2 Timotheo 4:14
    Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
    • 14 Aleksanda yule fundi wa shaba alinisababishia madhara mengi. Yehova* atamlipa kulingana na matendo yake.+

  • Ufunuo 20:12, 13
    Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
  • Ufunuo 22:12
    Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
    • 12 “‘Tazama! Ninakuja upesi, nikiwa na thawabu ninayotoa, ili kumlipa kila mmoja kulingana na matendo yake.+

Tanzanian sign language publications(2020-2025)
Toka
Ingia
  • Lugha ya Alama ya Tanzania
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki