Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Lugha ya Alama ya Tanzania
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 15:1-5
    Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
  • Zaburi 27:4
    Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
    •  4 Nimemwomba Yehova jambo moja

      —Ndilo nitakalolitafuta—

      Kwamba nikae katika nyumba ya Yehova sikuzote za maisha yangu,+

      Ili kuutazama uzuri wa Yehova

      Na kutazama kwa uthamini* hekalu lake.*+

  • Zaburi 84:1-4
    Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
    • 84 Jinsi linavyovutia sana* hema lako tukufu la ibada,+

      Ee Yehova wa majeshi!

       2 Nafsi yangu yote inatamani,

      Naam, ninazimia kwa kutamani,

      Nyua za Yehova.+

      Moyo wangu na mwili wangu humshangilia kwa sauti Mungu aliye hai.

       3 Hata ndege hupata makao huko

      Na mbayuwayu hujipatia kiota,

      Ambamo huyatunza makinda wake

      Karibu na madhabahu yako tukufu, Ee Yehova wa majeshi,

      Mfalme wangu na Mungu wangu!

       4 Wenye furaha ni wale wanaokaa katika nyumba yako!+

      Wanaendelea kukusifu.+ (Sela)

  • Zaburi 84:10
    Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
    • 10 Kwa maana siku moja katika nyua zako ni bora kuliko siku elfu moja kwingineko!+

      Ninachagua kusimama kwenye kizingiti cha nyumba ya Mungu wangu

      Badala ya kukaa katika mahema ya uovu.

Tanzanian sign language publications(2020-2025)
Toka
Ingia
  • Lugha ya Alama ya Tanzania
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki