- 
	                        
            
            Hesabu 10:35Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
- 
                            - 
                                        35 Kila mara Sanduku hilo lilipoanza kusafirishwa, Musa alisema: “Inuka, Ee Yehova,+ acha maadui wako watawanyike, na wale wanaokuchukia wakimbie kutoka mbele zako.” 
 
- 
                                        
- 
	                        
            
            Zaburi 21:8Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
- 
                            - 
                                        8 Mkono wako utawapata maadui wako wote; Mkono wako wa kuume utawapata wale wanaokuchukia. 
 
-