-
Mathayo 27:48Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
48 Mara moja, mmoja wao akakimbia, akachukua sifongo akailowesha katika divai kali akaiweka kwenye utete akampa anywe.+
-
-
Marko 15:36Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
36 Kisha mtu fulani akakimbia, akalowesha sifongo katika divai kali, akaiweka kwenye utete, akampa anywe,+ akisema: “Mwacheni! Acheni tuone kama Eliya atakuja kumshusha.”
-
-
Luka 23:36Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
36 Hata wale wanajeshi wakamdhihaki, wakamkaribia na kumpa divai kali+
-