Kumbukumbu la Torati 4:20 Tafsiri ya Ulimwegu Mpya 20 Lakini ninyi ndio watu ambao Yehova aliwatoa katika tanuru la kuyeyushia chuma, kutoka Misri, ili muwe watu ambao ni mali yake*+ mwenyewe, kama mlivyo leo. Kumbukumbu la Torati 32:9 Tafsiri ya Ulimwegu Mpya 9 Kwa maana watu wa Yehova ni fungu lake;+Yakobo ni urithi wake.+
20 Lakini ninyi ndio watu ambao Yehova aliwatoa katika tanuru la kuyeyushia chuma, kutoka Misri, ili muwe watu ambao ni mali yake*+ mwenyewe, kama mlivyo leo.