-
Kutoka 13:8Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
8 Na siku hiyo unapaswa kumwambia mwanao, ‘Ni kwa sababu ya mambo ambayo Yehova alinitendea nilipotoka Misri.’+
-
-
Zaburi 44:1Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
44 Ee Mungu, tumesikia kwa masikio yetu wenyewe,
Mababu zetu wametusimulia,+
Mambo uliyotimiza katika siku zao,
Siku za zamani za kale.
-