- 
	                        
            
            Zaburi 81:11, 12Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
- 
                            - 
                                        11 Lakini watu wangu hawakuisikiliza sauti yangu; Israeli hakujitiisha kwangu.+ 
 
- 
                                        
- 
	                        
            
            Yeremia 7:24-26Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
- 
                            - 
                                        24 Lakini hawakusikiliza wala kutega sikio lao;+ badala yake walitembea katika mipango yao* wenyewe, wakifuata kwa ukaidi moyo wao mwovu,+ nao wakarudi nyuma, badala ya kwenda mbele, 25 tangu siku ambayo mababu zenu walitoka nchini Misri mpaka leo hii.+ Basi nikaendelea kuwatuma kwenu watumishi wangu wote manabii, nilikuwa nikiwatuma kila siku, tena na tena.*+ 26 Lakini walikataa kunisikiliza, nao hawakutega sikio lao.+ Badala yake, walikuwa wakaidi,* nao walitenda mambo mabaya zaidi kuliko mababu zao! 
 
-