-
Zaburi 81:11, 12Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
11 Lakini watu wangu hawakuisikiliza sauti yangu;
Israeli hakujitiisha kwangu.+
-
-
Yeremia 7:24-26Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
24 Lakini hawakusikiliza wala kutega sikio lao;+ badala yake walitembea katika mipango yao* wenyewe, wakifuata kwa ukaidi moyo wao mwovu,+ nao wakarudi nyuma, badala ya kwenda mbele, 25 tangu siku ambayo mababu zenu walitoka nchini Misri mpaka leo hii.+ Basi nikaendelea kuwatuma kwenu watumishi wangu wote manabii, nilikuwa nikiwatuma kila siku, tena na tena.*+ 26 Lakini walikataa kunisikiliza, nao hawakutega sikio lao.+ Badala yake, walikuwa wakaidi,* nao walitenda mambo mabaya zaidi kuliko mababu zao!
-