-
Kutoka 16:15Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
15 Waisraeli walipokiona, walianza kuulizana: “Ni nini hiki?” kwa maana hawakujua kilikuwa nini. Musa akawaambia: “Ni mkate ambao Yehova amewapa uwe chakula chenu.+
-
-
Kumbukumbu la Torati 8:14, 15Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
14 msiache mioyo yenu iwe na kiburi+ na kuwafanya mumsahau Yehova Mungu wenu, aliyewatoa nchini Misri, kutoka katika nyumba ya utumwa,+ 15 aliyewafanya mtembee katika nyika kubwa na yenye kutisha,+ iliyo na nyoka wenye sumu na nge na ardhi iliyokauka isiyo na maji. Alifanya maji yatiririke kutoka katika mwamba mgumu+
-