-
Yeremia 44:23Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
23 Ni kwa sababu mmetoa dhabihu hizi na kwa sababu mmemtendea dhambi Yehova, kwa kutotii sauti ya Yehova na kutofuata sheria yake, amri zake, na vikumbusho vyake, ndiyo sababu msiba huu umewapata, kama ilivyo leo.”+
-