Zaburi 77:20 Tafsiri ya Ulimwegu Mpya 20 Uliwaongoza watu wako kama kundi la kondoo,+Chini ya uangalizi* wa Musa na Haruni.+ Isaya 40:11 Tafsiri ya Ulimwegu Mpya 11 Atalitunza* kundi lake kama mchungaji.+ Atawakusanya pamoja wanakondoo kwa mkono wake,Naye atawabeba kwenye kifua chake. Atawaongoza kwa upole wale wanaonyonyesha watoto wao.+ Yeremia 31:10 Tafsiri ya Ulimwegu Mpya 10 Sikieni neno la Yehova, enyi mataifa,Na mlitangaze kati ya visiwa vilivyo mbali sana:+ “Yule aliyemtawanya Israeli atamkusanya pamoja. Atamlinda kama mchungaji anavyochunga kundi lake.+ Ezekieli 34:12 Tafsiri ya Ulimwegu Mpya 1 Petro 2:25 Tafsiri ya Ulimwegu Mpya 25 Kwa maana mlikuwa kama kondoo wanaopotea njia,+ lakini sasa mmerudi kwa mchungaji+ na mwangalizi wa nafsi zenu.*
11 Atalitunza* kundi lake kama mchungaji.+ Atawakusanya pamoja wanakondoo kwa mkono wake,Naye atawabeba kwenye kifua chake. Atawaongoza kwa upole wale wanaonyonyesha watoto wao.+
10 Sikieni neno la Yehova, enyi mataifa,Na mlitangaze kati ya visiwa vilivyo mbali sana:+ “Yule aliyemtawanya Israeli atamkusanya pamoja. Atamlinda kama mchungaji anavyochunga kundi lake.+
25 Kwa maana mlikuwa kama kondoo wanaopotea njia,+ lakini sasa mmerudi kwa mchungaji+ na mwangalizi wa nafsi zenu.*