-
Zaburi 116:7Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
7 Acha nafsi* yangu ipumzike tena,
Kwa maana Yehova amenitendea kwa fadhili.
-
-
Zaburi 119:17Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
17 Nitendee kwa fadhili mimi mtumishi wako,
Ili niishi na kulishika neno lako.+
-