-
Kumbukumbu la Torati 8:19Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
19 “Ikiwa mtamsahau Yehova Mungu wenu na kufuata miungu mingine na kuiabudu na kuiinamia, nashuhudia dhidi yenu leo kwamba hakika mtaangamia.+
-
-
Yona 2:8Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
8 Wale wanaoabudu sanamu ambazo ni ubatili huacha chanzo chao cha upendo mshikamanifu.*
-