Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Lugha ya Alama ya Tanzania
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 112:4
    Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
    •  4 Yeye humwangazia mnyoofu kama nuru gizani.+

      ח [Heth]

      Ni mwenye huruma* na mwenye rehema+ na ni mwadilifu.

  • Methali 4:18
    Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
    • 18 Lakini kijia cha waadilifu ni kama nuru nyangavu ya asubuhi

      Inayong’aa zaidi na zaidi mpaka mchana kamili.+

  • Isaya 30:26
    Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
  • Mika 7:9
    Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
    •  9 Ghadhabu ya Yehova nitaivumilia

      —Kwa maana nimemtendea dhambi—+

      Mpaka atakapoitetea kesi yangu na kutekeleza haki kwa ajili yangu.

      Atanileta nje kwenye nuru;

      Nitautazama uadilifu wake.

Tanzanian sign language publications(2020-2025)
Toka
Ingia
  • Lugha ya Alama ya Tanzania
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki