-
Zaburi 145:13Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
13 Ufalme wako ni ufalme wa milele,
Na mamlaka yako hudumu katika vizazi vyote.+
-
-
Danieli 4:25Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
25 Utafukuzwa mbali kutoka miongoni mwa wanadamu, utaishi na wanyama wa mwituni, nawe utapewa majani ule kama ng’ombe dume; na utalowa kwa umande wa mbinguni,+ na nyakati saba+ zitapita,+ mpaka utakapojua kwamba Aliye Juu Zaidi ni Mtawala katika ufalme wa wanadamu na kwamba yeye humpa ufalme huo yeyote anayetaka kumpa.+
-