Kutoka 4:14 Tafsiri ya Ulimwegu Mpya 14 Ndipo hasira ya Yehova ikawaka dhidi ya Musa, akasema: “Namna gani ndugu yako Haruni,+ Mlawi? Ninajua kwamba anaweza kuzungumza vizuri sana. Na sasa yuko njiani anakuja hapa kukutana nawe. Atakapokuona, moyo wake utashangilia.+ Kutoka 7:1 Tafsiri ya Ulimwegu Mpya 7 Kisha Yehova akamwambia Musa: “Tazama, nimekufanya kuwa kama Mungu* kwa Farao, na Haruni ndugu yako atakuwa nabii wako.+
14 Ndipo hasira ya Yehova ikawaka dhidi ya Musa, akasema: “Namna gani ndugu yako Haruni,+ Mlawi? Ninajua kwamba anaweza kuzungumza vizuri sana. Na sasa yuko njiani anakuja hapa kukutana nawe. Atakapokuona, moyo wake utashangilia.+
7 Kisha Yehova akamwambia Musa: “Tazama, nimekufanya kuwa kama Mungu* kwa Farao, na Haruni ndugu yako atakuwa nabii wako.+