Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Lugha ya Alama ya Tanzania
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 32:9, 10
    Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
    •  9 Kwa maana watu wa Yehova ni fungu lake;+

      Yakobo ni urithi wake.+

      10 Alimpata katika nchi yenye nyika+

      Na katika jangwa tupu, lenye milio.+

      Alimzunguka akimlinda, akamtunza,+

      Na kumlinda kama mboni ya jicho lake.+

  • Zekaria 2:8
    Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
    • 8 Kwa maana hivi ndivyo anavyosema Yehova wa majeshi, ambaye baada ya kutukuzwa* amenituma kwa mataifa yaliyokuwa yakiwapora ninyi:+ ‘Yeyote anayewagusa ninyi anaigusa mboni ya jicho langu.*+

Tanzanian sign language publications(2020-2025)
Toka
Ingia
  • Lugha ya Alama ya Tanzania
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki