-
Kutoka 14:25Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
25 Alikuwa akiyang’oa magurudumu ya magari yao ya vita hivi kwamba waliyaendesha kwa shida, na Wamisri walikuwa wakisema: “Na tuwakimbie Waisraeli tusiwakaribie kamwe, kwa sababu Yehova anawapigania dhidi ya Wamisri.”+
-