Zaburi 18:32 Tafsiri ya Ulimwegu Mpya 32 Mungu wa kweli ndiye anayenivisha nguvu,+Naye ataifanya njia yangu iwe kamilifu.+ Isaya 12:2 Tafsiri ya Ulimwegu Mpya 2 Tazama! Mungu ni wokovu wangu.+ Nitamtumaini nami sitaogopa;+Kwa maana Yah* Yehova ni nguvu zangu na uwezo wangu,Naye amekuwa wokovu wangu.”+
2 Tazama! Mungu ni wokovu wangu.+ Nitamtumaini nami sitaogopa;+Kwa maana Yah* Yehova ni nguvu zangu na uwezo wangu,Naye amekuwa wokovu wangu.”+