-
Zaburi 55:12-14Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
12 Kwa maana si adui anayenidhihaki;+
La sivyo ningevumilia.
Si adui aliyeinuka dhidi yangu;
La sivyo ningeweza kujificha.
14 Tulikuwa tukifurahia pamoja urafiki wa karibu sana;
Katika nyumba ya Mungu tulikuwa tukitembea pamoja na umati.
-