-
Mhubiri 9:12Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
12 Kwa maana mwanadamu hajui wakati wake.+ Kama samaki wanavyonaswa na wavu mwovu na ndege wanavyonaswa na mtego, ndivyo wanadamu wanavyonaswa wakati wa msiba, unapowapata kwa ghafla.
-