Zaburi 19:9, 10 Tafsiri ya Ulimwegu Mpya 9 Kumwogopa Yehova ni jambo safi,+ hudumu milele. Hukumu za Yehova ni za kweli; zote ni za uadilifu.+ 10 Zinatamanika kuliko dhahabu,Kuliko dhahabu nyingi bora,*+Na tamu zaidi kuliko asali,+ asali inayodondoka kutoka katika sega. Zaburi 119:72 Tafsiri ya Ulimwegu Mpya 72 Sheria uliyotangaza ni njema kwangu,+Kuliko maelfu ya vipande vya dhahabu na fedha.+ Methali 3:13, 14 Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
9 Kumwogopa Yehova ni jambo safi,+ hudumu milele. Hukumu za Yehova ni za kweli; zote ni za uadilifu.+ 10 Zinatamanika kuliko dhahabu,Kuliko dhahabu nyingi bora,*+Na tamu zaidi kuliko asali,+ asali inayodondoka kutoka katika sega.