Zaburi 63:5 Tafsiri ya Ulimwegu Mpya 5 Nimeridhika na fungu bora ambalo ni zuri kabisa,*Kwa hiyo kinywa changu kitakusifu kwa midomo yenye shangwe.+ Zaburi 71:17 Tafsiri ya Ulimwegu Mpya 17 Ee Mungu, umenifundisha tangu nilipokuwa kijana,+Na mpaka sasa ninaendelea kutangaza kazi zako zinazostaajabisha.+ Zaburi 145:7 Tafsiri ya Ulimwegu Mpya 7 Watabubujikwa na maneno wanapokumbuka wema wako mwingi,+Nao watapaza sauti kwa shangwe kwa sababu ya uadilifu wako.+
5 Nimeridhika na fungu bora ambalo ni zuri kabisa,*Kwa hiyo kinywa changu kitakusifu kwa midomo yenye shangwe.+
17 Ee Mungu, umenifundisha tangu nilipokuwa kijana,+Na mpaka sasa ninaendelea kutangaza kazi zako zinazostaajabisha.+
7 Watabubujikwa na maneno wanapokumbuka wema wako mwingi,+Nao watapaza sauti kwa shangwe kwa sababu ya uadilifu wako.+