1 Wafalme 8:58 Tafsiri ya Ulimwegu Mpya 58 Na aivute mioyo yetu kwake+ ili tutembee katika njia zake zote na kushika amri zake, masharti yake, na sheria zake,* ambazo aliwaamuru mababu zetu washike. Zaburi 119:36 Tafsiri ya Ulimwegu Mpya 36 Uelekeze moyo wangu kwenye vikumbusho vyako,Wala si kwa tamaa ya* kichoyo.+
58 Na aivute mioyo yetu kwake+ ili tutembee katika njia zake zote na kushika amri zake, masharti yake, na sheria zake,* ambazo aliwaamuru mababu zetu washike.