-
1 Samweli 23:11Tafsiri ya Ulimwegu Mpya
-
-
11 Je, viongozi* wa Keila watanitia mikononi mwake? Je, Sauli atashuka kuja hapa kama mimi mtumishi wako nilivyosikia? Ee Yehova Mungu wa Israeli, tafadhali nijulishe mimi mtumishi wako.” Ndipo Yehova akamwambia: “Atashuka.”
-